BREAK NEWS: MBUNGE WA MTWARA MJINI ARUDI LUMANDE HADI TAREHE 12 /06/2013

clip_image001Mbunge wa Mtwara Mjini ndg Murji amerejeshwa rumande mara baada ya kukosa kutimiza masharti ya dhamani iliyo tolewa na Mahakama. Kesi hiyo itasikilizwa tena tarehe 12/06/2013.

Mbunge huyo alikamatwa usiku wa Jumamosi tarehe 8/06/2013 kwa kosa la kuhusika na Uchochezi katika Vurugu zilizotokea Mkoani humo hivi karibuni.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post