VIDEO YA MWIGULU AKIDAI KUWA CHADEMA NI WAUAJI NA AMEKIRI KUHUSIKA NA VIDEO YA LWAKATARE

clip_image001

  • ASEMA CHADEMA WANAVIPAJI VYA KUSEMA UWONGO

  • ABAINISHA KUWA YEYE NDIYO ALIYETOA VITENDEA KAZI KWENYE VIDEO INAYODAIWA YA UGAIDI YA LWAKATARE

  • ANUKULIWA “CHADEMA NI CHAMA CHA WAUAJI MPAKA SASA WAMEUWA WATU ZAIDI YA WANANE”

  • MUSA, MHANGA WA TUKIO LA KUMWAGIWA TINDIKALI IGUNGA AMUUNGA MKONO.

Angalia video ambayo inamuonyesha Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara), Mwigulu Nchemba  akinadi chama chake kwenye kampeni za udiwani Arusha zikiwa zimebaki siku 6 tu kabla ya uchaguzi.

SOURCE: MPEKUZI

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post