VUGURU ZATOKEA MJINI IRINGA, POLISI WATUMIA MABOMU KUREJESHA AMANI, HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA

clip_image001Hivi ndivyo hali ilivyokuwa baada ya Machinga kufunga barabara kuu ya Iringa – Dodoma na ile ya Mashine Tatu mjini Iringa leo.clip_image001[14]Hali ikiwa tete eneo hilo.clip_image001[16]Picha juu na Chini: Polisi wakiwa tayari kukabiliana na Machinga.clip_image001[18]

clip_image001[20]Abiria na wapiga debe wa stendi kuu Iringa wakinawa maji baada ya  kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha na askari.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post