SERIKALI IMEANGALIA MUVI TU, VIPI KUHUSU COVER ZA MAJARIDA YETU?, HEBU ONA HILI

Swali la kujiuliza Lipo Kimaadili au tumeangalia upande mmoja washilingi kuliko upande huu ambao watu wengi hupita asubuhi kwenye meza za magazeti kuangalia ninani leo yupo kwenye cover ya mbele na kwa stori gani na Piza ipi..
Ono langu Tusiangalie upande mmoja tu wa Bongo movi hata magazeti na Majarida yetu pia ya na Husika kwa namna moja au nyingine.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post