MSANII AWAAACHIA MASHABIKI WASHIKE NYETI ZAKE, LIVE JUKWAANI

iryn-namubiru-01Msanii kutoka Uganda,  Iryn Namubiru, alipokua katika tour yake USA.  Alipiga magoti wakati akitumbuiza mashabiki, kitu kilichopelekea baadhi ya washabiki kumtomasa mapaja na kinachoonekana kama kushika sehemu zake za siri. Baadhi ya watu wameripoti kuwa msanii huyo hakuonekana kukerwa na kitendo hicho . Ripoti hizo za kwamba hakukerwa na aliwaachia mashabiki waendelee kumtomasa na raha zao, hazijathibitishwa hivyo haijulikani kama zina ukweli wowote au uzushi tuhttp://laivu.com/maraha/files/2013/05/Iryn-Namubiru-00.jpgMashabiki waki endelea na kutomatha mapaja na mikono mingine ikionekana kwenda ndani zaidi kama picha inavyoonesha.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post