SAJUKI AFARIKI DUNIA

SajukiTASINIA YA filam Tanzania tunaweza kusema imeaanza mwaka vibaya baada ya kumpoteza mwigizaji Juma Kilowoko (SAJUKI) katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo alfajiri.
Sajuki pichani aliuugua kwa mda Mrefu na baadae kupelekwa India kwa Matibabu kabla ya tatizo la figo kushindwa kufanya kazi kukatisha uhai wake.
Mwenyezimungu aiweke toho yake Peponi.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post