Wayne Rooney amefunga mabao mawili na kuanza mapema kusherehekea miaka yake 27 ya kuzaliwa wakati Manchester United' ikiifunga 4-2 Stoke, hivyo kutimiza mabao 200 katika klabu hiyo. Mabao mengine yalifungwa na Danny Welbeck na Robin van Persie.
TAKWIMU ZA MECHI
Man United: De Gea, Da Silva, Ferdinand, Evans, Evra, Valencia (Nani 74), Scholes (Anderson 70), Carrick, Welbeck (Hernandez 78), Van Persie, Rooney
MABAO: Rooney dk27, dk65, Van Persie dk44, Welbeck dk46
NJANO: Scholes
BENCHI: Lindegaard, Giggs, Powell, Wootton
Stoke: Begovic, Cameron, Huth, Shawcross, Wilson, Nzonzi, Whitehead (Palacios 86), Walters (Etherington 70), Adam, Kightly (Owen 74), Crouch
MABAO: Rooney (kujifunga) dk 11, Kightly dk58
NJANO: Kightly
BENCHI: Sorensen, Jones, Upson, Wilkinson
REFA: Anthony Taylor (Cheshire)
Tags
BPL 2012/2013