HII NDIO HALI HALISI YA USAFIRI LINDI – RUANGWA

JE SUMMATRA MNAJUA KINACHOENDELEA NJIANI?
Hali ya Usafiri kutoka Lindi kwenda wilayani Ruangwa inaendelea kuwa tatizo hali inayosababisha Mabasi ya Abiria kujaza abiria zaidi ya ilivyopangwa na Sumatra kama inavyoenekana pichani huku ikilazimu kondakta wa basi kukosa nasafi na kulazimika kukaa katika ngazi huku basi hilo likiendelea na safariimageimageBaadhi ya abiria wameiomba mamlaka hiyo ya Usafirishaji kuangalia hali hiyo ambayo ni Hatari.
Picha na Abdulaziz Video, Ruangwa
Previous Post Next Post