Operesheni safisha CCM yaendelea. Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe agaragazwa UNEC CCM wilaya ya Nachingwea yeye na Mwenyekiti wake CCM Wilaya. MNEC alieshinda Fadhil azimia na kukimbizwa hospital huku Mzee wa viboko, Mkuu wa wilaya Mstaafu Bw Mnali akishinda kiti cha Uenyekiti wa wilaya. Fadhil ambae amechaguliwa Mnec apata kura 749 na Chikawe kura 503 huku Mnali akipata kura 948 na Ndg Kamlo mwenyekiti alieangushwa akiambulia kura 74.
Je BABU Mtopa atatetea KITI CHA CCM MKOA Tarehe 12 huko Ruangwa?
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.