Unknown Unknown Author
Title: OPRESHEN SAFISHA CCM YAENDELEA, WAZIRI CHIKAWA CHALII UNEC CCM-NACHINGWEA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Operesheni safisha CCM yaendelea. Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe agaragazwa UNEC CCM wilaya ya Nachingwea yeye na Mwenyekiti w...

image

Operesheni safisha CCM yaendelea. Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe agaragazwa UNEC CCM wilaya ya Nachingwea yeye na Mwenyekiti wake CCM Wilaya. MNEC alieshinda Fadhil azimia na kukimbizwa hospital huku Mzee wa viboko, Mkuu wa wilaya Mstaafu Bw Mnali akishinda kiti cha Uenyekiti wa wilaya. Fadhil ambae amechaguliwa Mnec apata kura 749 na Chikawe kura 503 huku Mnali akipata kura 948 na Ndg Kamlo mwenyekiti alieangushwa akiambulia kura 74.

Je  BABU Mtopa atatetea  KITI CHA CCM  MKOA Tarehe 12 huko Ruangwa?

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top