linex ni mmoja kati ya wasanii wa Tanzania ambae anafanya mziki wa bongo fleva. ni msanii ambaye kazi zake zimetokea kupendwa sana na wapenzi wa muziki huo, na huu ndio ujumbe wake anao uleta kwenu watanzania na kwa watu wote wanaopenda musiki wake
Pls vote for me( LINEX) to be accepted for the Unsigned tour. This is a great opportunity for Singers, Rappers& Bands. Visit http://t.co/OPT0pYvm
kumpigia kura tafadhali ingia hapa, kisha andika jina la Msanii(LINEX) NA Email yako, kisha Submit