Nani ataibuka kidedea kati ya MTOPA na GWAJA Kuchaguliwa kwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi,
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM ambae pia ni Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akifungua Mkutano Mkuu wa Uchaguzi CCM Mkoa wa Lindi leo katika ukumbi wa Yongolo wilayani Ruangwa
Wajumbe wa mkutano mkuu CCM Mkoa wa Lindi wakiwa tayari kupiga kura Matokeo ya Uchaguzi tutawaletea mara baada ya kutangazwa na MsimamiziMkuu Mhe Membe.