
Raisi barack Obama wa Marekeni akiwa amekumbatiwa na kunyanyuliwa juu na mmiliki wa Duka moja la pizza, mjini frorida marekeni alietambulika kwa jina la Scott Van Duzer ikiwa ni furaha kwa kumuona Rais Obama Kutembelea Dukani hapo.
Je! kibongo bongo linawezekana? Maoni yako…….
Tags
MAREKANI