Unknown Unknown Author
Title: HII NDIO VIDEO YA VURUGU ZILIZO SABABISHA KIFO CHA MWANDISHI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hivi ndivyo vurugu zilivyoanza katika Kata ya Nyororo Wilayani Mafinga na Mkoani Iringa tarehe 02/09/2012. Vurugu hizi dhidi ya Wanachama ...

Hivi ndivyo vurugu zilivyoanza katika Kata ya Nyororo Wilayani Mafinga na Mkoani Iringa tarehe 02/09/2012. Vurugu hizi dhidi ya Wanachama wa CHADEMA zilisababisha kifo cha Mwandishi Daud Mwangosi aliyelipuliwa na Bomu na askari wa Kikosi cha kutuliza ghasia baada ya kipigo kikali toka kwa askari zaidi ya sita

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top