Unknown Unknown Author
Title: UCHAGUZI UV CCM LINDI LEO HII
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
  Mkuu wa wilaya ya Lindi,Dr Nassor Hamid akihutubia hadhira ya wajumbe ambao wapiga kura katika uchaguzi huo wa Wilaya yake uliofanyika Ka...
image Mkuu wa wilaya ya Lindi,Dr Nassor Hamid akihutubia hadhira ya wajumbe ambao wapiga kura katika uchaguzi huo wa Wilaya yake uliofanyika Katika Ukumbi wa Hotel ya Lindi Oceanic
image Wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Wilaya ya Lindi Mjini (UVCCM) Ndugu Juma Seif Bahatimbaya (kushoto) na Ndugu Said Rashid Namponda.(kulia)
imagewajumbe mbalimbali kutoka katika kata 18 za wilaya ya Lindi Mjini waliohudhuria katika Mkutano Mkuu wa Mkoa ambao unachagua viongozi mbalimbali wa jumuiya ngazi hiyo ya wilayaimage
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM)wilaya ya Lindi mjini, wmefanya uchaguzi wa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo katika wilaya yao,pia wamefanya uchaguzi wa wajumbe wengine wa halmashauri kuu ya Wilaya na mkutano mkuu wa Wilaya.
Uchaguzi huo ambao umefanyika katika Ukumbi wa Lindi Oceanic Hotel Leo,Umefunguliwa na mgeni Rasmi ambae ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi,Dr. Nassor Ally Hamid, lakini pia ulihudhuriwa na wageni mbalimbali ambao ni viongozi na wajumbe wa mkutano mkuu wa Mkoa kutoka katika kila Kata za Wilayani humo, ambapo takribani wajumbe 300 kutoka kata 18
walihudhuria na kupiga kura katika uchaguzi huo.
Matokeo ya chaguzi hizo tutawaletea

HABARI NA ABDULAZIZ VIDEO-LINDI

About Author

Advertisement

 
Top