Naibu waziri wa Afrika Mashariki,Abdullah Juma Abdalla Saddallah amepata ajali jioni hii maeneo ya Tumbi Kibaha akitokea Bungeni kuja
DAR Kufuatia ajali hiyo yeye na mkewe pamoja na watoto wake wawili wamenusurika ila dereva wake ameumia vibaya na kukimbizwa hospital yaTumbi-KibahaChanzo cha ajali inasemekana alikuwa analikwepa Lori alilokuwa akipishana nalo
Tags
TANZANIA