MAANDAMANO ZANZIBAR

Watanzania Inabidi tutafakari nini Hatima ya Matukio haya…………….

Inasadikika kuwa Maandamano hayo yalifanyika bila kibali na dhamira kubwa ilikuwa ni kushinikiza polisi kumwachia kiongozi wao ambae alikamatwa kwa kosa la kufanya mhadhara bila ya kibali.Askari ilibidi watumie silaha na Mabomu ya Machozi kuwasambaza waandamaji hao.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post