Kili Music Award Winners Tour - Mtwara

Mashabiki waliojitokeza kuangalia Show ya Wakali wa KTMA 2012.Ali Kiba akimsindikiza Ommy Dimpoz katika wimbo aliomsaidia wa Nai Nai na hatimaye kumpa tuzo mbili.

Mwimbaji wa Nyimbo za Bongo Fleva Ali Kiba akishambulia jukwaa na vijana wakeMkali wa miondoko ya kipwani kutoka Zanzibar AT akifanya vitu vyake sambamba na wanenguaji wake wakati wa tamasha la Washindi wa Tuzo za Kilimanjaro “Kili Music Award Winners Tour” uwanja wa Umoja mjini Mtwara. Mkongwe wa Taarab, Bi Hadija Kopa akitumbuiza jukwaani na kukonga nyoyo za wakazi wa Mwambao wa Pwani ya Bahari ya Hindi Mkoani Mtwara kwa vibao vyake kadhaa ambavyo vimempa tuzo ya Kili Music  Award 2012

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post