LINDI KWANZA NDIO HIYO?

Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Lindi wameachana na Ushabiki wa Siasa
na michezo na kugeukia kushabikia baadhi ya mabasi yanayopita mjini
Lindi kutoka na kwenda Mtwara ....Kwa hali hii Maendeleo
yatapatikana?

MPAMBANO NI KATI YA HAMANJU NA BUTI LA
ZUNGU....................

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post