Special One kutimkia England

mourinho

Kocha wa Real Madrid Hose Mourinho amethibitisha kuwa anataenda nchini England kufundisha klabu moja wapo baada ya kuondoka Hispania anakoifundisha timu hiyo..
Mourinho maarufu kama Special One amesema England ni moja kati sehemu bora zaidi kwake kwani huwa anafurahia maisha anayoishi na waingereza kuliko sehemu yoyote duniani.
Kocha huyo wa zamani wa Chelsea anahusishwa zaidi na kujiunga na Matajiri wa jiji la Greater Manchester timu ya Manchester City..

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post