Hicho ndicho kikosi cha timu ya waimbaji wa Bongo falva nchini Tanzania ambacho hucheza mechi mbalimbali za kirafiki na karibuni wamecheza na Kombaini ya dodoma wakala kichapo cha bao 2-0, Mbele ya Mgeni rasmi Mh. Mbilinyi Joseph.
Tags
Bongo flava Team