RAIS SAMIA AFUNGUA KIWANDA CHA CHOKAA NA SARUJI MKOANI TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Kiwanda cha Chokaa na Saruji cha Maweni Limestone katika hafla ya ufunguzi wa Kiwanda hicho mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wafanyakazi wa Kiwanda cha Chokaa na Saruji cha Maweni Limestone mara baada ya hafla ya ufunguzi ya Kiwanda hicho mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025.
Wafanyakazi wa Kiwanda cha Chokaa na Saruji cha Maweni Limestone wakati wa hafla ya ufunguzi ya Kiwanda hicho mkoani Tanga tarehe 27 Februari, 2025. 
Kiwanda cha Chokaa na Saruji cha Maweni Limestone cha jijini Tanga.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post