NIJUZE NIJUZE Author
Title: YANGA IMECHANGIA KUKUZA SOKO LA SOKA TANZANIA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma  a.k.a Mwanafa  amebainisha kuwa klabu ya Yanga ni moja ya klabu ambayo imetoa mc...

Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwanafa amebainisha kuwa klabu ya Yanga ni moja ya klabu ambayo imetoa mchango wake mkubwa katika kukuza soko la Soka la Tanzania.

Mwinjuma ametoa kauli hiyo akijibu swali la mwandishi wa habari jana baada ya kumalizika kwa mchezo wa mkondo wa pili ligi ya mabingwa Afrika, Yanga dhidi ya Al Merrikh uliomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya kushindwa kwa miaka 25.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top