YANGA IMECHANGIA KUKUZA SOKO LA SOKA TANZANIA

Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Hamisi Mwinjuma a.k.a Mwanafa amebainisha kuwa klabu ya Yanga ni moja ya klabu ambayo imetoa mchango wake mkubwa katika kukuza soko la Soka la Tanzania.

Mwinjuma ametoa kauli hiyo akijibu swali la mwandishi wa habari jana baada ya kumalizika kwa mchezo wa mkondo wa pili ligi ya mabingwa Afrika, Yanga dhidi ya Al Merrikh uliomalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 na kufanikiwa kutinga hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika baada ya kushindwa kwa miaka 25.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post