Klabu ya Simba leo hii ikiwa na kibarua kizito katika ardhi ya Morocco ndani ya Uwanja wa Mohammed wa 5 majira ya saa 4:00 Usiku dhidi ya Mabingwa watetezi wa Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika Wydad Athletic
Rais wa heshima wa Klabu hiyo Mohammed Dewji 'MO" ametumia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii kutoa neno kuelekea mchezo huo.
MO ameandika: “Riadha…ni moyo na akili.” — Eliud Kipchoge.. Kila la kheri leo, Simba! Mmejifua kama mashujaa. Ninawaamini!
*********************************************************************
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.