NIJUZE NIJUZE Author
Title: UJUMBE WA MO DEWJI KABLA YA MCHEZO WA LEO
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Klabu ya Simba leo hii ikiwa na kibarua kizito katika ardhi ya Morocco ndani ya Uwanja wa Mohammed wa 5 majira ya saa 4:00 Usiku dhidi ya M...


Klabu ya Simba leo hii ikiwa na kibarua kizito katika ardhi ya Morocco ndani ya Uwanja wa Mohammed wa 5 majira ya saa 4:00 Usiku dhidi ya Mabingwa watetezi wa Kombe la Ligi ya Mabingwa Afrika Wydad Athletic

Rais wa heshima wa Klabu hiyo Mohammed Dewji 'MO" ametumia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii kutoa neno kuelekea mchezo huo.

MO ameandika: “Riadha…ni moyo na akili.” — Eliud Kipchoge.. Kila la kheri leo, Simba! Mmejifua kama mashujaa. Ninawaamini! 
 
 
*********************************************************************

 

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top