MAKONDA AWATAJA VIGOGO HAWA KATIKA TUHUMA ZA KUJIHUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA

Yusuf Manji, Freeman Mbowe, Gwajima na Idd AZAN
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo ametaja majina mengine 65 ya watu wanaotakiwa kuhojiwa kuhusu tuhuma za kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya akiwemo Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, mchungaji Gwajima na Mbunge wa zaman Idd AZAN.

Hii ni awamu ya pili baada ya awali kukamatwa watu 112 ambao baadhi wameachiwa kwa dhamana pamoja na kupewa masharti ya kuripoti mahakamani mara mbili kwa mwezi.

Watajwa wote wa awamu hii ya pili amewataka kufika kituo cha Polisi cha kati siku ya Ijumaa.

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post