VIDEO: NUH MZIWANDA AFUNGUKA JUU YA SHILOLE NA NGOMA YAKE MPYA KWA MWAKA 2017

Nuh MziwandaMwanamuziki Nuh Mziwanda amesema haoni sababu ya kufuta Tatoo ya Mwanamke aliyetokea kumpenda (Shilole) kwa kua hakuna mtu aliyemlazimisha kufanya hivyo.

Nuh Mziwanda aliyasema hayo wakati wa Mahojiano katika kipindi cha planet Bongo kinachoongozwa na Abdallah Ambua / Dulla kinachorushwa na East Afrika Radio.

Mziwanda pia ameeleza ujio wake kwa mwaka 2017 kwa kuachia ngoma aliyomshirikisha Mama la Mipasho Khadija Kopa.

BOFYA PLAY KUMSIKILIZA


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post