JAY Z AMPA MAKAVU DONALD TRUMP, TAZAMA VIDEO HAPA

Jay Z hatoi kiki kwa Rais Donald Trump kama swahiba wake Kanye West. Kwake ni muendelezo wa mikausho mikali.
Jay Z
Jumatano hii, Jigga alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kwenye tamasha la Sundance kuhusu series za makala za Spike, TIME: The Kalief Browder Story,” lakini aliamua kutolijibu swali kuhusu utawala mpya wa Trump.

Rapper huyo ambaye alimpigia debe Hillary Clinton wakati wa kampeni, alilitosa swali hilo na kuhitimisha interview. “We’re not gonna answer that,” alisema na kuanza kuondoka.

Mshirika wa Jay Z kwenye miradi kadhaa ya filamu, Harvey Weinstein, aliongeza, “This is a labor of love for Jay and I. We’re here to talk about that and nothing else.”


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post