AUDIO: MWANAFUNZI ALIYEFAULU ZAIDI MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016 AZUNGUMZA HAYA

Alfred Shauri
Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2016 Tanzania yametangazwa leo January 31 2017 na baraza la mitihani NECTA ambapo Mwanafunzi wa kwanza kufaulu zaidi kitaifa ametokea kwenye shule ya Feza Dar es salaam na anaitwa Alfred Shauri.

Sikiliza hii Audio hapa chini usikie alichoongea yeye na Mama yake pamoja na Mwalimu wake.

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post