LULU ATOKWA NAPOVU BAADA YA VIDEO YA NGONO KUSAMBAA MTANDAONI NA KUFANANISHWA NA YEYE

Mapema January 31, 2017 imekuwa yenye taharuki baada ya Video inayomuonyesha Bint mmoja akifanya Ngono kusambaa katika Mitandao ya Kijamii.
Elizabeth Micheal (LULU)
Wadukuzi wa Mambo wanasema eti Msichana huyo anayeonekana kwenye video hiyo ni Elizabeth Micheal (LULU). Kufuatia halihiyo imepelekea Mlimbwende huyo na Muigizaji wa Bongo Movie Hapa Nchini kuandika Ujumbe ambao ametoa ufafanuzi wa kukanusha Taarifa hizo..
LULU RAPA
Lulu amewaambiwa wasimpe kiki za lazima kwani huyo Msichana hafanani kabisa na yeye hivyo inabidi wamuombe Radhi.

Katika Kuthibitisha Msichana huyo sio yeye aliweza kupost Post nyingine ambayo inamuonyesha msichana huyo kwamba hana Kidoti pia Pua yake ni kubwa kuliko ya Lulu halisi. na akaweza kumpa jina LULU RAPA.
LULU RAPA

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
 ++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post