Unknown Unknown Author
Title: VODACOM WASAFI FESTIVAL YAANDIKA HISTORIA MPYA MJINI IRINGA (+PICHA)
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Usiku wa Disemba 25, 2016 wakali wa Mziki wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB Wasafi walifanya Show iliyoweka Historia katika mji wa Iringa...
Usiku wa Disemba 25, 2016 wakali wa Mziki wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB Wasafi walifanya Show iliyoweka Historia katika mji wa Iringa.
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Show hiyo iliyotambulika kama Vodacom Wasafi Festival ilifanyika katika Uwanja wa Samora mjini Humo na kuhudhuliwa na mashabiki lukuki kutoka viunga mbalimbaliu vya Mji wa Iringa.

Diamond platnumz ndiye aliongoza jahazi hilo huku Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Q Boy Msafi na Richi Mavoko wakishambulia Jukwaa hilo bila kusahau wasanii waalikwa ambaye alikuwa Chege Chigunda na KCEE kutoka Nigeria wakitoa burudani ya Nguvu kwa wakazi hao wa mji wa Iringa.

Hizi ni baadhi ya Picha kutoka mahali palipofanyika Tamasha Hilo.
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa 
Vodacom Wasafi Festival Iringa 
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
Vodacom Wasafi Festival Iringa
_________________________________________________________________________________
  • WANAOJIITA WAKALI WAMKIMBIA DIAMOND PLATNUMZ

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top