UTANI: UJUMBE WA MBOTO KATIKA SHEREHE ZA MWAKA MPYA

Itakuacha mbavu chanu hii ya Haji Salum almaarufu kama Mboto kuwahusu washkaji wote ambao wanategemea mualiko katika sherehe za kuukaribisha mwaka mpya wa 2017.
Haji Salum (Mboto)
Ni kupitia kurasa yake ya Instagram ambapo ndio sehemu ambayo Mboto amevunja mbavu za watu kwa kupost video yenye sekunde 59 inayomuonyesha akizungumza ujumbe mzito kwa washkaji zake woote ambao wanategemea kualikwa na mkali huyo katika sherehe hizo za kuukaribisha mwaka mpya.

Chukua dakika 1 kuitazama video hiyo, ila ikikunogea usiache kucopy link na kushare na mshkaji wako.
A video posted by LindiYetu Blog (@lindiyetu_blog) on

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post