Unknown Unknown Author
Title: HIZI NDIZO NYIMBO TANO ZILIZOPAKULIWA KWA WINGI KUTOKA MKITO
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mtandao wa kuuza nyimbo za muziki nchini Mkito.Com , umetoa list ya Nyimbo 5 za wasanii wa muziki nchini ambazo zimepakuliwa zaidi kupit...
Mkito.Com
Mtandao wa kuuza nyimbo za muziki nchini Mkito.Com, umetoa list ya Nyimbo 5 za wasanii wa muziki nchini ambazo zimepakuliwa zaidi kupitia mtandao huo ndani ya mwaka 2016.

Nyimbo 5
Mtandao huo umepost hiyo picha (hapo juu) kupitia twitter na kuandika:
"Tunapofunga mwaka, hizi ni baadhi ya ngoma zilizowavutia wengi kwa mwaka 2016. Hebu tutajie zako tano ulizozikubali zaidi mwaka huu".
Kwa upande menaja na Alikiba na Barakah The Prince, Seven Mosha baada ya kuona taarifa hiyo ametweet:
"Most downloaded @JideJaydee @BarakaThePrince @OfficialAliKiba"
Mtandao huo kwa sasa ni mmoja kati ya mitandao mikubwa nchini Tanzania ambayo inategemewa na wasanii kwa kuuza nyimbo zao.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top