Msanii wa Muziki wa Hip Hop nchini Tanzania Darasa hit Maker wa Single ya MUZIKI amepata ajali mapema leo akiwa anatoka Kahama akirejea jijini Dar es Salaam, Darasa alikuwa ameongozana na Muongozaji wa Video nchini Hanscana.

Lakini Taarifa alizozitoa yeyemwenyewe darasa kupitia mtandao wa Twitter amesema hakuna aliyeumia katika ajali hiyo.
Hii ni tweet ya Msanii huyo.

Lakini Taarifa alizozitoa yeyemwenyewe darasa kupitia mtandao wa Twitter amesema hakuna aliyeumia katika ajali hiyo.

"Nimepata ajali MBAYA Kwenye mazingira mazuri lakini Niko Salama! CAN I GET AMAN FOR THAT"- @Darassa_cmg
Tags
HABARI ZA WASANII