ORODHA YA WASHINDI WA TUZO ZA MTV MAMA 2016 HII HAPA

Usiku wa Kuamkia Jumapili ya oktoba 23, 2016 kunako jiji la Johannesburg - South Africa hali haikuwa shwari kwa watanzania wapenda muziki kwani hatukuweza kuambulia Tuzo hata moja katika tuzo za MTV MAMA 2016.
wizkid
Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na wasanii Diamond Platnumz, Rayvanny, Vannesa Mdee na Yamoto Band huku Alikiba akiwa kwenye Tuzo ya kushirikishwa na kundi la Kenya Sauti Sol.

Hii ndio List ya Washindi wa tuzo hizo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post