ITAZAME VIDEO JINSI DIAMOND PLATNUMZ ALIVYOMKABIDHI SAIDI TSH MILIONI 2

Asubuhi ya leo katika kipindi cha Leo Tena cha Clouds Fm alikuwepo kijana Said, kijana ambaye tukio alilofanyiwa limewagusa wengi baada ya kutobolewa macho na kijana ajulikanae kama Scorpion.
Said
Diamond Platnumz ni mmoja kati ya walioguswa vilivyo na tukio hilo, na hakuona vibaya kujisogeza katika ofisi za Clouds Fm asubuhi ya leo ili kukutana na kijana huyo na kuweza kumchangia chochote kidogo alichonacho.

Diamond Platnumz alitoa Tsh. Millioni 2 taslim na kumkabidhi kijana Said kama msaada wake kwa kijana huyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post