
Na. Mwandishi Wetu.
Michuano ya Ligi ya Europa inatarajiwa kuanza Septemba 15 mwaka huu, huku timu ya Mbwana Samatta, KRC Genk ikipangwa kundi F pamoja na timu za Athletic Bilbao, Rapid Wien na Sassuolo.
Wakati huo huo mchezaji wa Fenerbahce ya Uturuki, Robin Van Persie anatarajiwa kukutana na timu yake ya zamani ya Manchester United zilizopangwa kundi moja kwenye michuano hiyo.
Michuano ya Ligi ya Europa inatarajiwa kuanza Septemba 15 mwaka huu, huku timu ya Mbwana Samatta, KRC Genk ikipangwa kundi F pamoja na timu za Athletic Bilbao, Rapid Wien na Sassuolo.
Wakati huo huo mchezaji wa Fenerbahce ya Uturuki, Robin Van Persie anatarajiwa kukutana na timu yake ya zamani ya Manchester United zilizopangwa kundi moja kwenye michuano hiyo.

Tags
SPORTS NEWS