DRAKE NA RIHANNA WAONYESHANA MAHABA NJE NJE KWENYE OVO FEST (+Video)

Rapper Drake na staa wa R&B, Rihanna July 31 walifanya show kali kwenye ziara za Drake za OVO katika ukumbi wa Air Canada.
Drake N Rihanna
Mashabiki wao walikuwa wakiwashangilia muda wote na kuwafanya walio wengi kuamini kuwa wawili hawa ni wapenzi kweli.

Ukaribu waliouonyesha wakati wanaimba nyimbo zao “Work” na “Too Good” ndio ulikuwa unathibitisha kuwa wawili hao tayari wamerudiana na mapenzi yao kwa sasa ni moto moto.

Tazama video za show yao hapo chini.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post