NIJUZE NIJUZE Author
Title: SAID FELLA AISAPOTI KIAINA DISS YA ROMA KWA BABU TALE, HICHI NDICHO ALICHOKISEMA
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Lisemwalo lipo. Said Fella amedai kuwa mstari aliorap Roma kwenye wimbo wake ‘Kaa Tayari’ ni maneno hata mtaani yapo yanazungumzwa kila ...
Lisemwalo lipo. Said Fella amedai kuwa mstari aliorap Roma kwenye wimbo wake ‘Kaa Tayari’ ni maneno hata mtaani yapo yanazungumzwa kila siku.
Said Fella
Add caption
“Bosi kamganda Dangote kaisahau Tip Top,” – amerap Roma kwenye wimbo huo.

Fella amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa mstari aliorap Roma ndani ya wimbo huo una ukweli ndani yake.
Said Fella na Bab Tale
“Unajua Roma ni mtu mzima, alichoimba hata mtaani huko watu wanasema, na unaweza kuona labda Roma ameambiwa hayo maneno na msanii kama Madee au msanii mwingine yeyote wa kwetu. Lakini hata mimi nilishawahi kumwambia mdogo wangu Babu Tale kuwa tufanye yote lakini yeye asiisahau Tip Top Connection na mimi nisiisahau TMK,” amesema Fella.
Said Fella na Bab Tale
Bado Tale hajajibu chochote kuhusiana na maneno hayo. Pamoja na kuwa meneja wa Tip Top, meneja huyo staa amekuwa akifanya kazi na Diamond na WCB nzima.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top