KILICHOTOKEA MAHAKAMANI LEO HII KATIKA KESI YA WENJE JIJINI MWANZA, POLISI WATUMIA KAZI YA ZIADA

Kesi ya Wenje Mwanza
Mamia ya wafuasi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe leo, Machi 14, 2016 walifurika katika mahakama kuu jijini Mwanza katika kesi ya mbunge wa zamani wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA) anayepinga matokeo ya Stanslaus Mabula (CCM).
Kesi ya Wenje Mwanza
Polisi wametumia nguvu ya ziada kuhakikisha ulinzi unaimarika mahakamani hapo.
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Kesi ya Wenje Mwanza
Previous Post Next Post