MKURUGENZI WA MAUZO NA MASOKO WA NHC AFANYA ZIARA LINDI, MTWARA NA RUVUMA

NHC Lindi
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimpa taarifa ya hali ya mauzo na masoko na utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
NHC Lindi
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi, katika ziara ya NHC mkoa wa Lindi kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
NHC Lindi
Nyumba za gharama nafuu za NHC Mtanda, Lindi linavyoonekana katika picha.
NHC Lindi
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi Patrick Mussa Kamendu akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mtanda Lindi.
NHC Mtwara
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimpa taarifa ya utekelezaji wa miradi ya shirika la nyumba la taifa katika mkoa wake kwa Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
NHC Mtwara
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye mradi wa nyumba za makazi Shangani Mtwara, katika ziara ya NHC mkoa wa Mtwara kufuatilia utekelezaji wa miradi hiyo mikoani.
NHC Mtwara
Nyumba za makazi za Rahaleo Mtwara zinavyoonekana katika picha hivi sasa.
NHC Mtwara
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Mtwara, Joseph John akimweleza jambo Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Napupa, Masasi.
NHC Masasi
Nyumba za gharama nafuu NHC Napupa, Masasi, Mtwara zinavyoonekana kwa sasa.
NHC Songea
Nyumba za gharama nafuu NHC Mkuzo Songea zinavyoonekana kwa sasa.
NHC RUVUMA
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Ruvuma, Saidi Bungara akiongozana na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo, Pius Tibazarwa alipokuwa kwenye ziara ya mradi wa nyumba za gharama nafuu Mkuzo, Songea.
Previous Post Next Post