SHIRIKA LA EMIRATES LAZINDUA NDEGE LENYE VITI 615

ndege la Emirates
Ndege hiyo aina ya A380 ina madaraja mawili tu biashara na uchumi

Shirika la ndege la Emirates limezindua ndege aina ya Airbus A380, likiwa na madaraja mawili- la biashara na uchumi, hakuna daraja la kwanza. Ndege hiyo la kifahari imeongezwa siti 130.
ndege la Emirates
Daraja la biashara
ndege la Emirates
Viti hivyo vina vitanda
ndege la Emirates
Sehemu ya vinywaji kwa abiria wa daraja la biashara
ndege la Emirates
Ndege hiyo A380 ikipaa kutoka Uwanja wa Hamburg, Ujerumani
Previous Post Next Post