MKURURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MTWARA AKIKATA KEKI KWA NIABA YA WATEJA WA NMB KWENYE SHEREHE ZA MIAKA 10 YA MAFANIKIO YA NMB.
MKURUGENZI AKIMLISHA KEKI, MENEJA WA KANDA YA KUSINI, LILIAN MWINULA.
BRANCH MANAGER NMB MTWARA-AKIONGEA NA WATEJA WA BENK HIYO KATIKA KUSHEREKEA MIAKA 10 YA MAFANIKIO YA NMB HIYO.
MFANYAKAZI WA BENKI YA NMB TAWI LA MTWARA, AKIMLISHA KEKI MTEJA WA BENKI HIYO KUDHIHIRISHA UPENDO KWA WATEJA WAO.
WATEJA WA NMB BENKI WAKIINGIA NDANI YA BENKI HIYO HUKU WAKIPEWA PIPI KUASHIRIA UPUNDO BAINA YA WATEJA NA WAFANYAKAZI WA BENKI HIYO KATIKA KUAZIMISHA MIAKA 10 MAFANIKIO YA NMB.