ESTER BULAYA AIBWAGA CCM, ASEMA ATARUDI BUNGENI KUPITIA CHAMA KINGINE

Ester Bulaya
Mbunge wa BUNDA MJINI kupitia chama cha Mapinduzi Ester Bulaya amechukua hatua hii ya kukihama chama kilicho mkuza katika nyanja ya Siasa  kwa miaka mingi. Mbunge huyo ameweza kutumia Akaunti yake ya Facebook kwa kuandika maneno hayo ya kukihama chama hicho huku akisisitiza kuwa asihusishwe na Dhana flani kuhusiana na Mgombea Urais.

AMEANIKA HAYA HAPA:


Habarini watanzania, nimesema nitagombea jimbo la Bunda mjini lakini sitogombea kwa tiketi ya CCM, sina ugomvi na CCM...
Posted by Ester Bulaya on Sunday, July 19, 2015
Previous Post Next Post