DAVIDO ATHIBITISHA HAKUNA BEEF KATI YAKE NA DIAMOND PLATNUMZ

davido and diamond
Staa wa Nigeria aliyeripotiwa awali kuwa na tofauti na msanii Diamond Platnumz baada ya kufanya pamoja Remix ya wimbo Number 1 ameonyesha wazi kuwa hakuna beef yeyote kati yao.

Mtv wametaja majina ya wasanii watakao fanya show kwenye usiku wa tuzo na Diamond Platnumz kutoka Tanzania na Davido kutoka Nigeria wapo miongoni mwa wasaii waliotajwa.

Hii ni post ya Davido Facebook.

PERFORMING AGAIN LIKE THIS AT #MTVMAMA2015 !! TOO MUCH BLESSINGS...
Posted by IamDavido on Wednesday, July 1, 2015
Previous Post Next Post