PICHA ZIMEVUJA MTANDAONI ZIKIONYESHA JEZI ZA MANCHESTER KWA MSIMU UJAO

Manchester united Manchester united watavaa jezi designed by Adidas kwa msimu wa 2015/2016. Bado hawajatoa picha rasmi kuonyesha jezi hizo lakini picha hii ikimuonyesha Ashley Young amevaa jezi ambazo zinategemewa kuwa ni za msimu ujao. Picha imesambaa sana kwenye mtandao na watu wengi wanasema hizi ndio zitakua jezi mpya za Manchester united. 
Ashley Young
Je, umezipenda au hazina mvuto?
Previous Post Next Post