MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemfutia kesi ya mauji iliyokuwa ikimkabili mfanyabishara maarufu nchini Marijan Abubakar maarufu kama 'Papaa Msofe' na kumfungulia kesi
ya kugushi nyaraka baada ya kupokea taarifa kutoka kwa MKurugenzi wa Mashitaka (DPP), Biswalo Mganga leo kuwa hana nia ya kuendelea kumshitaki tena.
Kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002, inampa mamlaka DPP kuifuata kesi ya jinai bila kuhojiwa na mtu yeyote wala mamlaka yoyote ile.
ya kugushi nyaraka baada ya kupokea taarifa kutoka kwa MKurugenzi wa Mashitaka (DPP), Biswalo Mganga leo kuwa hana nia ya kuendelea kumshitaki tena.

Papaa Msofe akiwa mahakamani. (Picha kutoka maktaba)
Kwa mujibu wa Kifungu cha 91(1) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya mwaka 2002, inampa mamlaka DPP kuifuata kesi ya jinai bila kuhojiwa na mtu yeyote wala mamlaka yoyote ile.
Tags
HABARI ZA KITAIFA