HAMISI KIGWANGALLA APATA WADHAMINI WA KUTOSHA MKOANI LINDI

Hamisi Kigwangalla Lindi
Mbunge wa Nzega Kupitia CCM, Hamisi Kigwangalla akisaini kitabu cha wageni katika Ofisi za CCM Mkoa wa Lindi mara baada ya Kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya Kupata wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. 
Hamisi Kigwangalla Lindi
Mbunge wa Nzega Kupitia CCM (katikati), Hamisi Kigwangalla akisaini fomu za waliomdhani katika Ofisi za CCM Mkoa wa Lindi mara baada ya Kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya Kupata wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. 
Hamisi Kigwangalla Lindi
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi waliojitokeza kumdhamini Mh. Hamisi Kigwangalla katika Ofisi za CCM Mkoa wa Lindi mara baada ya Kuwasili mkoani hapa kwa ajili ya Kupata wadhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. 
Previous Post Next Post