Unknown Unknown Author
Title: THIS IS WHAT JACKLINE WOLPER WRITE IN HER INSTAGRAM ACCOUNT...
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika manen...
Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa bongo, Jackline Massawe “Wolper” akionekana amekaa kochini akiwa na kinywaji mkononi, aliandika maneno haya mara baada ya kubandika picha hiyo hapo;
Jackline Massawe “Wolper”
“ 2015 ni mwaka wakuish utakavyo na huu ni mwaka wakuishi watakavyo ..Kauli mbiu bwana nazikubali sana”
Hii kwako imekaaje?
Mie namuunga mkono kabisa nakusema haya hapa chini:
'You've gotta dance like there's nobody watching, Love like you'll never be hurt, Sing like there's nobody listening, And live like it's heaven on earth.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top