MSHTUKO...!!!!! MABIBO HOSTEL JIJINI DAR YAWAKA MOTO

Mabibo Hostel yawaka moto
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) wanaoishi kwenye Hostel za Mabibo,wakiangalia moja ya majengo ya Hostel hizo likiwa limeshika moto asubuhi hii.Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana na msaada wa haraka unahitajia ili kuokoa mali zilizopo kwenye Jengo hilo.
Mabibo Hostel yawaka moto
Hakuna anaeamini anachokiona,kwani imekuwa ni tukio la ghafla sana.
Mabibo Hostel yawaka moto
Baadhi ya Wanafunzi waliokuwa wakiishi kwenye Jengo hilo wakiwa nje,huku wakiwa hawajui la kufanya wakati moto huo ukiendelea kuwaka.
Mabibo Hostel yawaka moto
Moshi unazidi kufuka na moto unaongezeka.
Mabibo Hostel yawaka moto

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post