Bao za Simba Leo hii zote zilifungwa Kipindi cha Pili na Ibrahim Hajibu, kwa Penati, Awadh Juma na Elias Maguri.
Yanga bado wako kileleni mwa Ligi wakiwa na Pointi 37 kwa Mechi 18 wakifuata Azam FC wenye Pointi 36 kwa Mechi 18 na kisha Simba waliocheza Mechi 20 na wana Pointi 32.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.