Unknown Unknown Author
Title: KUELEKEA UCHAGUZI 2015:: BABA KUNDAMBANDA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MASASI MJINI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Hatimaye msanii maarufu wa vichekesho na nyimbo ambae ni kipenzi cha watu wote na mkombozi wa wana wa kusini Ismail Mapembe maarufu Baba...
Ismail Mapembe Kundambanda
Hatimaye msanii maarufu wa vichekesho na nyimbo ambae ni kipenzi cha watu wote na mkombozi wa wana wa kusini Ismail Mapembe maarufu Baba Kundambanda amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Masasi Mjini ndani ya Chama cha Wananchi CUF.

Akizungumza maneno hayo kwenye mkutano wa Hadhara uliofanyika Nyangao alitoa salamu kwa wana CCM kuwa yuko tayari kuwakomboa wana masasi na tayari ameshachukuwa fomu. 

Aidha vilevile alitambulisha nyimbo yake mpya ambayo ametaja ufisadi unaofanyika katika hospitali ya Nyangao na kuwataja majina mafisadi hao. Vilevile inasemakana Masasi Hakutoshi kutokana na aliyekuwa Mbunge kupitia tiketi ya CCM baada ya kusikia kuwa Baba Kundambanda kachukua fomu yeye ameghairi kugombea tena jimbo hilo.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top